Habari

Picha: Miss World 2013 – Brigitte Alfred ashindwa kuingia fainali ya vazi la ufukweni

Kati ya washiriki 130 wa Miss World 2013, 33 pekee waliingia kwenye nusu fainali ya shindano la vazi la ufukweni. Kwa bahati mbaya Miss Tanzania, Brigitte Alfred hakufanikiwa pia kusonga mbele kwenye mchuano huo.

913e95ce1a2211e3957722000a1f9a39_7

Washiriki wa Miss World 2013 ambalo mwaka huu linafanyika nchini Indonesia, watachuana kwenye mashindano mengine kama kama Top Model, Sports and Fitness, Beauty with a Purpose, Talent Competition na World Fashion Designer Award, kabla ya fainali zenyewe tarehe 28, September.

Washindi wa mashindano mengine nao watatangazwa siku hiyo.

Washiriki walioingia kwenye fainali ya Beach Fashion ni

France, Marine Lorphelin
Indonesia, Vania Larissa
Spain, Elena Ibarbia

406692

Italy, Sarah Baderna
Moldova, Valeriya Tsurkan
Ukraine, Anna Zayachkivska

406695

Philippines, Megan Young
Brazil, Sancler Konzen
China PR – Wei Yu

406697

Jamaica, Gina Hargitay
Ghana, Carranzar Shooter

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents