Burudani

Picha: Mfahamu zaidi Idris Sultan, mwakilishi wa Tanzania kwenye BBA Hotshots

Mpiga picha na graphic designer anayefanya kazi kwenye kampuni ya I-View Studios, ni mwakilishi wa kwanza kutoka Tanzania aliyetajwa tayari kutuwakilisha mwaka huu kwenye shindano la Big Brother Africa. Majina bado yanaendelea kutajwa hivyo tunangoja kufahamu mshiriki wa pili.

10554208_706570772747607_1588459783_n

Tumepata bahati ya kukutana na Idris. Ni kijana mwenye vituko sana na ukikaa naye kwa muda mfupi lazima akuvunje mbavu kwa maneno yake ya papo kwa papo ambayo yatakufanya ugundue kuwa ucheshi ni kitu alichobarikiwa na mwenyezi Mungu.

927992_1567672793459852_407569830_n

Kwa wajihi wake, Idris ana nafasi kubwa ya kufanya vizuri kwenye jumba hilo litakalozinduliwa rasmi August 5.

Hakuna shaka kuwa vituko vyake vitamfanya awe mmoja wa housemates watakaokuwa na mashabiki wengi. Mtazame zaidi kwenye picha zake hizi.

10388017_301539486687372_1212737532_n

10488606_1491181511118029_1737078798_n

10632537_635061593279016_1097484233_n

03e47ea0a69a11e3a586123cee9e9f3b_8

926757_750754521635789_1953360848_n

1169067_395352460600870_526184973_n

1516783_673348689376188_1127706291_n

1597883_560928050661673_1107479137_n

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents