Burudani

Picha: Mazoezi ya Zari kwenye gym ya Diamond yawashtua mashabiki, waogopa kuuharibu ujauzito

Zari the Bosslady hataki kutumia ukubwa wa ujauzito wake kukwepa mazoezi.

11258208_1614286195494800_2082066892_n
Mama kijacho akiwa kwenye gym iliyopo kwenye ikulu ya mchumba wake Diamond

Mrembo huyo ambaye mwezi huu anaweza kumfanya Diamond awe baba kwa mara ya kwanza, amepost picha Instagram akiwa kwenye gym iliyopo nyumbani kwa mchumba wake huyo wakifanya mazoezi pamoja.

“The struggle is real…… Gotta keep that butt in place with the squats. Phew!!!,” ameandika kwenye picha moja inayomuonesha akiwa amenyanyua chuma kizito.

11848879_145168405818266_1557289739_n

Katika picha nyingine Zari ameandika, “Well, it’s always easier with ‘man power’ #GymGrind #TeamWork.”

Hata hivyo mashabiki wake wamemuonya kuwa mazoezi hayo yanaweza kumletea madhara.

“That’s serious zari! You can’t carry heavy staff dumb bells and carry heavy staff when you are pregnant !!! I am so shocked , yes you can do minor exercises , walking , swimming tread mill just walking but this is just too much,” aliandika shabiki mmoja.

“Mazoezi yakizidi mimba itachoropoka!! Take care zari,” aliandika mwingine.

“Please remember our little princess in ur womb.”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents