Burudani

Picha: Mashabiki wawaita Davido na Ommy Dimpoz mapacha, Davido aipitisha

Ommy Dimpoz na Davido ni mapacha kwa mujibu wa mashabiki wao.

10723709_741071752608247_340582735_n

Muimbaji wa ‘Ndagushima’ alipost kwenye mtandao wa Instagram picha akiwa na hitmaker huyo wa ‘Skelewu’ walipokutana kwenye show ya Fiesta wiki iliyopita iliyowavutia wengine.

“Jaman mnafanana kwanini mstoe wimbo pamoja,” aliandika shabiki na mwingine kuongeza ‘Yaan mmefanana mbaya kka dmpoz na hyo mr skelew.”

Davido naye alipitisha kwa kuandika ‘My Twin Lol’.

wpid-img-20141024-wa0000.jpg

Unahisi kweli mastaa hawa wanafanana? Na vipi wanafaa kupiga collabo?

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents