Burudani

Picha: Mariah Carey atumbuiza na ‘kinguo cha mitego’ Shanghai, China

Miaka 44 aliyonayo Mariah Carey haimzuii, mama huyo wa watoto wawili kujiachia jukwaani na kuwapa fahari ya macho wanaume wanaotamani tu kuona umbo lake. Katika ziara yake ya barani Asia, Mariah ameendelea kuonesha kuwa ujana ungali upo ndani yake. Tazama picha hizi wakati akitumbuiza kwenye uwanja wa soka wa Hongkou huko Shanghai, China jana Jumapili. Mapaja nje nje!

1413786113004_Image_galleryImage_Mandatory_Credit_Photo_by

1413785777309_Image_galleryImage_Mandatory_Credit_Photo_by

1413785850065_Image_galleryImage_Mandatory_Credit_Photo_by

1413786180506_Image_galleryImage_Mandatory_Credit_Photo_by

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents