Picha

Picha: Marehemu Julius Nyaisangah aagwa Leaders, Makamu wa Rais aongoza shughuli

Makamu wa Rais Dr. Mohamed Gharib Bilal leo amewaongoza wakazi wa Dar es Salaam, kuuaga mwili wa aliyewahi kuwa mtangazaji wa Radio Tanzania, Radio One na kuwa Meneja wa Abood Media, Julius Nyaisangah aliyefariki dunia juzi mkoani Morogoro.

Makamu wa Rais Dokta Gharib Bilal
Makamu wa Rais Dokta Gharib Bilal

Wengine waliokuwepo kuuaga mwili wa marehemu Nyaisangah ni pamoja na Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Reginald Mengi, Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni, Freeman Mbowe, Mkuu wa wilaya ya Bahi, Betty Mkwasa na mumewe Boniface Mkwasa.

Mengi akiuaga mwili wa marehemu Nyaisangah
Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Reginald Mengi akiuaga mwili wa marehemu Nyaisangah

Aliyewahi kuwa mtangazaji wa Radio One ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Betty Mkwasa akiwa na mume wake Boniface Mkwasa
Aliyewahi kuwa mtangazaji wa Radio One ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Betty Mkwasa akiwa na mume wake Boniface Mkwasa

Betty Mkwasa akiuaga mwili wa marehemu Julius Nyaisangah
Betty Mkwasa akiuaga mwili wa marehemu Julius Nyaisangah

Familia ya marehemu
Familia ya marehemu Nyaisangah

Godwin Gongwe na Ruge Mutahaba waliokaa katikati
Godwin Gongwe na Ruge Mutahaba waliokaa katikati

Mengi akiuaga mwili wa marehemu Nyaisangah
Mengi akiuaga mwili wa marehemu Nyaisangah

Mengi, Bilal, Betty Mkwasa na Mbowe
Reginald Mengi, Makamu wa Rais Dr. Bilal, Betty Mkwasa na Freeman Mbowe

Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Reginald Mengi akisalimiana na Makamu wa Rais Dk. Gharib Bilal
Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Reginald Mengi akisalimiana na Makamu wa Rais Dk. Gharib Bilal

Reginald Mengi akiongea

DSC_1073

DSC_1085

DSC_1116

DSC_11181

Marehemu Nyaisangah atazikwa wilayani Tarime, Mara.

Picha: Dewjiblog

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents