Habari

Picha: Manji aonekana akitolewa polisi na gari la wagonjwa

Mfanyabiashara Yusuf Manji Jumapili hii alionekana akitolewa kwenye Kituo Kikuu cha Polisi na kupandishwa kwenye gari la wagonjwa ambalo lilipita Barabara ya Sokoine kuelekea Posta Mpya.

Kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi, Manji akipanda gari hilo la Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) lakini hawakufahamu mara moja alikoelekea.

Manji alikuwa amevaa fulana, suruali na viatu vya wazi vyote vya rangi nyeusi

Mwenyekiti huyo wa Yanga anashikiliwa na jeshi hilo kwajili ya mahojiano kuhusu tuhuma zinazomkabili za kujihusisha na biashara ya Madawa ya kulevya.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents