Michezo
Picha: Manchester United yazindua jezi mpya za Adidas
Manchester United imekamilisha mkataba wa pauni milioni 750 na kampuni ya Adidas baada ya kuwa na Nike kwa misimu 13.
Mkataba wa United umezishinda klabu nyingine zilizodhaminiwa na Adidads zikiwemo Bayern Munich (pauni milioni 645) na Chelsea (pauni milioni 300).
Juan Mata, Ashley Young na Daley Blind wakiwa katika tangazo la jezi mpya za Man United
Juan Mata, Bastian Schweinsteiger na Ander Herrera wakiwa wamepozi katika tangazo hilo