Burudani

Picha: Majibu ya ukimya wa Alikiba kupatikana soon, aanza rehearsal ya video mpya

Alikiba amekuwa akiulizwa maswali mengi kuhusu lini anatoa kazi mpya sababu amekuwa kimya kwa muda mrefu sana, na team Alikiba inahamu ya kupokea zao jipya kutoka kwake.

kiba2

Habari njema ni kuwa dalili njema zimeanza kuonekana sababu star huyo ameanza mazoezi (rehearsal) kwaajili ya video yake mpya.

kiba

Alikiba jana ameshare picha (hapo juu) akiwa kwenye mazoezi ya video na kuandika:

“Am done for the Video rehearsal ,,,…..my question is .did you miss me???”

Ni wimbo gani, kamshirikisha nani, video anafanya na director gani na itafanyikia wapi? Ni maswali ambayo bado wengi tunajiuliza na sina shaka majibu yatatoka hivi karibuni.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents