Burudani

Picha: Maelfu wamuaga YP, vilio vyatawala

Msanii wa muziki kutoka kundi la Wanaume Family, YP aliyefariki jana ameagwa jioni hii katika viwanja vya TTC Chango’ombe jijini Dar es Salaam kabla ya kwenda kuzikwa katika makaburi ya Chang’ombe. Wasanii, wadau wa muziki na wananchi wengine walijitokeza kutoa heshima zao za mwisho.

Ndugu wa marehemu akilia kwa uchungu baada kuaga
Ndugu wa marehemu wakilia kwa uchungu baada kuuaga mwili wake

YP alifariki usiku wa kuamkia jana baada ya kulazwa katika hospitali ya wilaya ya Temeke kutokana na kusumbuliwa na kifua. Tazama picha.

Fella na Babu Tale kwa nyuma
Fela na Babu Tale kwa nyuma

Juma Nature akiwa na ndugu wa marehemu 2
Juma Nature akiwa na ndugu wa marehemu

IMG_6545

IMG_6560

IMG_6569

IMG_6570

IMG_6571

IMG_6589

IMG_6591

IMG_6593

IMG_6594

IMG_6596

IMG_6602

IMG_6603

IMG_6614

IMG_6620

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents