Burudani
Picha: Maandalizi ya Jembeka Festival, NE-YO, Diamond na wengine kulipamba tamasha hilo jijini Mwanza
Usiku wa Jumamosi hii, msanii kutoka Marekani, NE-YO pamoja na wasanii wa ndani wanatarajia kulipamba jukwaa la Jembeka Festival 2016 katika viwanja vya CCM Kirumba, Mwanza.
Jukwaa la Jembeka Festival
Wasanii wa Tanzania ambao wanatarajia kupamba jukwaa hilo usiku wa leo ni, Diamond, Nay wa Mitego, Barakah Da Prince, Fid Q, Rubby, JJ Band na wengine wengi.
Wateja wakinunua tiketi
Mashabiki wa muziki waanza kuingia