Burudani

Picha: Kutana na mtoto wa B-12 wa Clouds Fm

Inawezekana unafahamu mengi kuhusu mtangazaji maarufu wa radio, Hamis Mandi aka B-12 aka B-Dozen wa kipindi cha XXL cha Clouds FM, lakini huenda ulikuwa haufahamu kuwa ni baba, au hujawai kumuona mtoto wake.

dozen n son

Kupitia Instagram Dozen ameamua kushare na mashabiki wake picha ya mtoto wake wa kiume.

mtoto wa dozen

“My son is cool like that……”, ameandika Dozen katika caption ya picha hiyo (juu).

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents