Picha
Picha: Kigoma Allstars wala shavu la tangazo la TV la NSSF
Kigoma Allstars wameuanza vizuri mwaka 2013. Kwanza wameachia hit nyingine baada ya Leka Dutigite, iitwayo Nyumbani ambayo tayari inafanya vizuri kwenye radio. Pili wana ziara ya show za Valentine’s Day. Na tatu wamekula shavu la kufanya tangazo la TV la NSSF.
Kupitia Instagram, Diamond ameshare picha wakiwa kwenye location wakishoot tangazo hilo na kuandika: #BusyShutin #kigomaAllstars #NSSFAdvert #Tvc.
Mungu awape nini!!