Habari

Picha: Jux na Jackie Cliff bado ni utata, marafiki ama wapenzi!!!

Kwa muda mrefu muimbaji wa kundi la Wakacha, Jux na video vixen wa Tanzania, Jackie Cliff wameendelea kukanusha kuwa na uhusiano wa kimapenzi, lakini bado picha zinazowaonesha wakiwa pamoja, zimeendelea kuzalisha maswali mengi vichwani mwa watu wanaowafahamu.

f345df6a551011e3b231121678b27f6a_7

Hivi karibuni, Jux alipost picha Instagram akiwa amemshikilia Jackie mkono wakitembea pamoja kama mtu na mpenzi wake na kuandika: We jus outchea livin our mfkn lives. Siku chache kabla ya picha hiyo, Jackie naye alipost picha akiwa na Jux na kuandika: My bff is better than yours..’

a3528c903be011e3822b22000ab48c96_7

Miezi mitatu iliyopita , Jackie ambaye ameonekana kwenye video ya Linex ya wimbo wake Kimugina hivi karibuni, aliweka picha ya Jux na kuandika ujumbe mrefu wa kumtakia siku njema ya kuzaliwa akisema:

I don’t like to call u a friend..To me ur just a special friend..A wonderful friend..A heaven sent,And todai its your special day..God keep showering you with lots of success and blessings cuz you deserves so much more..And your so special to me..Ladies and Gentlemen help me wish Happy Bday To this handsome friend of mine’
71d2b2ee09c711e385fc22000a1f96be_7

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents