Promotion

Picha: Jinsi Mtanzania Mayunga alivyoshinda mkataba wa shilingi milioni 900 kwenye shindano la Airtel Trace Music Star

Bendera ya Tanzania imepeperushwa kwa mara nyingine tena kwenye jukwaa la muziki la kimataifa baada ya Mtanzania, Mayunga Malimi kushinda shindano la Airtel Trace Music Star lililo chini ya mtandao wa Airtel na kituo cha runinga cha Trace TV.

Mayunga akiimba kwa hisia kali kusherehekea ushindi wake
Mayunga akiimba kwa hisia kali kusherehekea ushindi wake

Fainali ya shindano hilo iliyodumu kwa masaa mawili, ilioneshwa Jumamosi iliyopita kupitia kituo cha runinga cha TRACE Urban ambapo washiriki wa nchi 13 walikuwa wakichuana.

Hongera Mayunga

Fainali ilifanyika jijini Nairobi, Kenya.

Mayunga alipewa ushindi na majaji akiwemo muimbaji wa Marekani kwenye asili ya Senegal, Akon, Devyne Stephens na muimbaji wa Ufaransa Lynnsha.

Akon akiwa na Mayunga baada ya kutangazwa mshindi
Mayunga baada ya kutangazwa mshindi

Mayunga aliwashinda wasanii wengi wawili walioingia kwenye hatua ya tatu bora ambao ni Jitey wa Nigeria na Baz kutoka Congo Brazzaville.

Mayunga akiwa haamini kama jina lake ndio limetajwa kama mshindi wa shindano hilo
Mayunga akiwa haamini kama jina lake ndio limetajwa kama mshindi wa shindano hilo

Mtanzania huyo aliupokea ushindi huo kwa furaha iliyopitiliza kiasi cha kupoteza fahamu kipindi alipotangazwa ushindi.

Mayunga akiwa amepoteza fahamu kwa muda
Mayunga akiwa amepoteza fahamu kwa muda

Kutokana na ushindi huo, Mayunga alishinda mkataba wa kurekodi muziki na label ya Universal Music wenye thamani ya $500,000 ambayo ni takriban shilingi milioni 900. Mayunga ni mtoto wa mwisho kwenye familia yao yenye makazi yao mjini Morogoro.

Tazama picha zaidi za fainali hizo na ushindi wa Mayunga.

Shangwe ilitawala baada ya mshindi kutangazwa
Shangwe ilitawala baada ya mshindi kutangazwa

Wasanii walimshawishi Mayunga kufanya muziki ni Chris Brown, Usher na Nuruelly
Wasanii walimshawishi Mayunga kufanya muziki ni Chris Brown, Usher na Nuruelly

Wimbo wa ushindi
Wimbo wa ushindi

Akon akimpa Mayunga maneno ya kumpa ujasiri
Akon akimpa Mayunga maneno ya kumpa ujasiri

Furahia kijana ni siku yako hii
Akon: Furahia kijana ni siku yako hii

Mayunga alipoteza fahamu mara baada ya kutangazwa mshindi
Mayunga alipoteza fahamu mara baada ya kutangazwa mshindi

Mayunga aliwahi kupitia Machozi Band inayomilikiwa na Lady Jaydee
Mayunga aliwahi kupitia Machozi Band inayomilikiwa na Lady Jaydee

Mayunga atakuwa chini ya usimamizi wa Universal Music ukiwa ni mkataba wa kurekodi na promotion wenye thamani ya dola laki tano
Mayunga atakuwa chini ya usimamizi wa Universal Music ukiwa ni mkataba wa kurekodi na promotion wenye thamani ya dola laki tano

RadekArtPhoto-5775

RadekArtPhoto-6102

RadekArtPhoto-6104

RadekArtPhoto-6114

RadekArtPhoto-6118

RadekArtPhoto-6234

RadekArtPhoto-6250

RadekArtPhoto-6255

RadekArtPhoto-6270

RadekArtPhoto-6334

RadekArtPhoto-6335

RadekArtPhoto-6336

RadekArtPhoto-6338

RadekArtPhoto-6340

RadekArtPhoto-6345

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents