Burudani

Picha: Ivory Coast yatwaa kombe la AFCON 2015

Timu ya taifa ya Ivory Coast imenyakua kombe la mataifa ya Afrika, AFCON 2015 kwa kuitandika timu ya Ghana kwa mikwaju ya penalti mjini Bata, Equatorial Guinea. Ivory Coast imeshinda kombe hilo kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1992.

yaya4
Mlinda mlango nambari mbili wa Ivory Coast ndiye aliyeipa ushindi timu yake

Ghana walipata penalti 8 huku Ivory Coast wakishinda kwa penalti 9. Tazama picha

yaya2

yaya1
Yaya Toure akishangilia baada ya kukabidhiwa taji lao

yaya

yaya3

ghana

257AD3C500000578-2944965-image-a-54_1423429376159

257BB3CF00000578-2944965-image-m-103_1423440670143

257B766B00000578-2944965-image-a-74_1423435486623

Related Articles

Leave a Reply

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents