Mitindo
Picha: Herieth Paul (Tanzania) kutokea kwenye jarida la Elle Canada, Nov 2014
Mwanamitindo wa Tanzania aishiye nchini Marekani, Herieth Paul ataonekana kwenye jarida la mwezi ujao la Elle Magazine. Hii si mara ya kwanza Herieth anatokea kwenye jarida la Elle Canada kwakuwa mwaka 2011 mrembo huyo alikava jarida kwa kichwa cha habari ‘Naomi, Move Over!’. Hizi ni picha zitakazoonekana kwenye jarida hilo.