Picha
Picha: Get well soon Wema Sepetu
Guess who is eating too much chocolate! CEO wa Endless Fame Films Wema Sepetu amelazimika kujisamilisha kwa daktari wa meno baada ya ulaji wa chocolate kumponza na hivyo kuozesha baadhi ya meno yake.
Kupitia Instagram, Miss Tanzania huyo wa zamani, ameshare picha akiwa kwenye clinic ya meno kung’oa jino lililokuwa likimsumbua. “Apparently I have 8 cavities…. oh god… does this mean no more chocolate for me,” ameandika.
“An advice to my fellow chocoholics…. it so happens dat if u take a glass of red wine, u lose ur chocolate cravings,” ameongeza. Kwa waliowahi kuumwa na jino wanaujua muziki wake, so get well soon Wema.