Burudani

Picha: Feza Kessy apata mapokezi ya kufa mtu ‘ukweni’ Botswana

Ni ukweli usiopingika kuwa Feza Kessy amekubalika ukweni kwao nchini Botswana. Staa huyo wa BBA The Chase ameamua kumfuata mpenzi wake Oneal nchini kwake ambapo wote kwa pamoja wataondoka kwenda kwenye fainali za shindano hilo nchini Afrika Kusini.

Mamia ya watu walijitokeza kwa wingi kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Sir Seretse Khama, IATA uliopo kilomita 15 nje ya mji mkuu, Gaborone kumpokea Feza aliyekuwa akiwasili kutoka Dar es Salaam.

Oneal alitweet:

CC

CCCC

CCCCC

CCCCCCCC

Picha: Swahiliworldplanet

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents