Burudani
Picha: Fainali za Miss Universe 2014 kufanyika Jumapili (Jan 25) Miami, Marekani
Fainali za mashindano ya urembo ya kimataifa ya Miss Universe 2014 zinatarajiwa kufanyika Jumapili (Jan 25) huko Miami, Marekani.
Nale Boniface-Tanzania
Tanzania inawakilishwa na mrembo Nale Boniface ambaye amechukua nafasi ya aliyekuwa Miss Universe Tanzania 2014 Carolyne Benard, aliyeshindwa kushiriki mashindano hayo ya kimataifa baada ya kupata ajali.
Hawa ni warembo kumi wa Afrika wanaoshindania taji hilo wakiwa katika mavazi ya jioni, kitamaduni pamoja na ufukweni.
Tanzania
Angola
Egypt
Ethiopia
Gabon
Ghana
Kenya
Mauritius
Nigeria
South Africa
Photo Credit: Miss Universe