Michezo

Picha : Didier Drogba akizozana na mashabiki wa New York Red Bulls

Mchezaji Didier Drogba, ambaye anachezea timu ya Montreal inayoshiriki MLS jana walipoteza mechi kwa kufungwa goli 1-0 dhidi ya New York Red Bulls.

38c6380300000578-0-image-a-45_1474796863629

38c6381400000578-0-image-a-46_1474796873313

Mchezo huo ulivyo malizika Didier Drogba alionekana akiwa katika vita ya kurushiana maneno na baadhi ya mashabiki wa Red Bulls na walinzi kuingilia kati ugomvi huo.

38c6383800000578-0-image-a-47_1474796878312

Drogba huu ni msimu wake wa pili MLS, baada kuhojiwa alisema kuwa kilikuwa si kitu kikubwa “Kulikuwa kuna mashabiki wawili waliokuwa na shauku kubwa sana, walivuka mipaka, ilikuwa hivyo tu” alisema Drogba.

Drogba hadi saivi amesha funga magoli 21 katika mechi 32 alizocheza tangu ajiunge na Montreal mwaka 2015.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents