BurudaniDiamond Platnumz

Picha: Diamond na Zari wakava jarida la Mamas and Papas la SA

Wakati wakisubiri ujio wa mtoto wao wa kiume, Nillan, Zari na Diamond walipiga picha kwaajili ya jarida la Mamas and Papas la nchini Afrika Kusini.

Na sasa jarida hilo linaingia mtaani February mwaka huu. Kupitia Instagram, Mamas and Papas, wameshare cover lake ambalo limepokelewa na maoni tofauti.

Chini ni picha za siku waliyofanya photoshoot.

15276769_215105932269827_4517378316247760896_n

15305951_989904737822222_8309672239175827456_n

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents