Burudani

Picha: Diamond athibitisha kuwa Zari ana ujauzito wake!

Uhusiano wa Diamond Platnumz na Zarinah Tlale a.k.a Zari The Boss Lady sasa unaelekea kwenye level nyingine. Diamond ameweka wazi kuwa anatarajia kuwa baba.

zarinah

Kupitia Instagram Diamond alipost picha ya ‘ultra sound’ inayoonesha kiumbe kilichoko tumboni mwa mama na kuandika: “I can not wait to have you on my hand”. Hata hivyo aliifuta post hiyo baada ya dakika mbili.

IMG-20150114-WA0000

Kwa picha na maneno hayo, Platnumz amethibitisha kuwa yeye na Zari wanatarajia kupata mtoto.

Zari tayari ni mama wa watoto watatu wa kiume aliowapata kwenye uhusiano wake uliopita.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents