Diamond Platnumz

Picha: Diamond asherekehea birthday yake kwa style!

Tarehe 2 October ilikuwa ni siku ya kuzaliwa ya Diamond Platnumz ambaye aliamua kufanya party kwenye hoteli ya D’ Mage.

Hitmaker huyo wa ‘Mawazo’ aliwaalika washkaji wake wa karibu na watu maarufu nchini akiwemo Wema Sepetu, Shetta, Ommy Dimpoz, B12, Naj, Mboni Masimba na wengine.

Hizi ni baadhi ya picha alizopiga na kuziweka kwenye website yake.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents