Burudani

Picha: Diamond asaini dili nono na Vodacom, Zari amsindikiza kusaini

Diamond Platnumz amesaini dili nono na kampuni ya Vodacom.

12677168_829110210533381_478623524_n (1)
Kutoka Kushoto: Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom, Ian Ferrao, Diamond, Zari, Babutale na mmoja wa maafisa wa juu wa kampuni hiyo

Hitmaker huyo alisindikizwa na mchumba wake Zari the Bosslady kwenye tukio hilo lililofanyika leo jijini Dar es Salaam. Haijulikani ni mkataba wa muda gani na atalipwa shilingi ngapi lakini vyanzo vimesema Diamond amevuta mkwanja mrefu.

“Closed the deal with Vodacom…watch this space! @ianferrao,” aliandika meneja wake, Babutale.

Kwa kuanza Diamond atahusika kwenye promotion mpya ya kampuni hiyo iitwayo Ongea Deilee.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents