Jana jioni ilikuwa zamu ya Bongo5 Media Group kupitia www.bongo5.com kufuturisha wadau wake wa burudani ambapo baadhi ya wasanii, wacheza filamu na wadau wa karibu walijumuika pamoja katika viunga vya City Garden Restaurant katikati ya jiji kufungua kinywa.
Angalia nani na nani walitokelezea.
Bob Junior akichagua maanjumati
Bob Junior, Chidi Beenz nao wakipata futari
Bongo5.com CEO Luca pamoja na Nancy Wakipakua futari
Chidi Benz Chuma akiwa pamoja na msaidiziwake Sean wakipakua
Claude 112 pamoja na mdau mkubwa wa Bongo5 Daudi
Daudi hakutaka shobo, yeye na kisamvu dugu moja
Futari yake Chai, Sinta
Hapa ndipo shughuli nzima ilipofanyika
ilikuwa kazi ni kwako
Mdau Suka akitafuta kipande cha kuku
Meza hii ilikuwa ni hip hop na Bongo Fleva
Moja ya setting ya futari City garden
Mwana FA akikata Swauum
Mwasitiiii akitupia tonge pale huku Dj Eddo
Nancy akipozi na washiriki wa Miss Tanzania 2012 kupitia kitongoji cha Ukonga
Nancy Pamoja na Sintah wakitokelezea
Ndekwa akipakua huku Suka hukuwa na mchezo na kuku. ulimi nje sheikh
Queen Darleen akiwa busy kidogo na simu yake akiwa na Ramso
Queen Darleen, Mima na Mo
Rafiki mkubwa wa Aunty Ezekiel Rehema wa Photo Point akiwakilisha
Shilole akiteta na Mwasiti huku Ombeni akifuatilia kwa makini
Shilole na Mwasiti wakiteta
Shilole nae akijichagulia maanjumati
Shiloleeeeeee unachezea Supu ya boga wee
Sinta akiwa tayari kukata Swaumu
Sintah, Nancy na Luca
Steve Nyerere hakuacha ucheshi wake pembeni ya Aunty Ezekiel, Rehema na Rafiki yao
TID hakumwacha nyuma mtarajiwa wake
Warembo wa Miss Ukonga wakipata nasaha kutoka kwa Miss Tanzania na Miss Worls Africa 2005 Nancy Sumari
Yusuph Mlela akikata swaumu
Aunt Ezekiel akichagua akipendacho
Baada ya kupakua ilikuwa zamu ya kula