Picha

Funika Bovu: ‘Badilisha Live’ ya Jose Chameleone yaandika historia Uganda (picha)

Hitmaker wa Valu Valu, Jose Chameleone, jana ameweka historia nchini Uganda kwa kupiga show ya kihistoria, Badilisha Live. Show hiyo iliyofanyika kwenye viwanja vya Kyadondo Rugby Club na kuhudhuriwa na takriban watu 20,000.

5270_4791840918503_1113346631_n

Mzazi Willy Tuva (kushoto) alikuwepo kushuhudia historia ikiandikwa
Mzazi Willy Tuva (kushoto) alikuwepo kushuhudia historia ikiandikwa

65622_4791894559844_1637152482_n

Redsun
Redsun

305784_4791816797900_2025308150_n

321520_4791901000005_1594024487_n

Ili kupata picha halisi ya jinsi concert hiyo ilivyokuwa kubwa na yenye mafanikio, tumemtafuta mtangazaji maarufu wa Kenya Mzazi Willy M. Tuva anayetangaza kipindi cha Mambo Mseto cha Radio Citizen na Mseto East Africa cha Citizen TV aliyekuwa shuhuda kwenye viwanja hivyo kutuelezea. Na hivi ndivyo alivyosimulia:

“Chameleone ni msanii mkubwa sana Afrika Mashariki na waganda wanamkubali sana. I observed a number of things ambazo Ningependa watu wajue. Chameleone amejipanga vilivyo kwenye maandalizi ya show na performance. Alitawala jukwaa kwa masaa mengi bila kuchosha watu. Aliimba na band.

417812_4791887199660_1743771063_n

Jose Chameleone na mwanae
Jose Chameleone na mwanae

401216_4791984722098_1631466720_n

399935_4791865799125_342439056_n

Mke wa Chameleone (Daniella) kulia akiwa na shoga zake kumshuhudia mumewe akifanya yake
Mke wa Chameleone (Daniella) kulia akiwa na shoga zake kumshuhudia mumewe akifanya yake
Redsun na Profesa Jay wakimshuhudia Dokta
Redsun na Profesa Jay wakimshuhudia Dokta

386822_4791838438441_727393886_n

Mzazi Tuva kwenye Twitter aliandika: A mzungu from Norway on stage singing @JChameleone's #Valuvalu at the #Badilisha concert. Celebrating East African Music
Mzazi Tuva kwenye Twitter aliandika: A mzungu from Norway on stage singing @JChameleone’s #Valuvalu at the #Badilisha concert. Celebrating East African Music

Wasanii waalikwa Profesa J na Redsan walipanda kuimba naye nyimbo mbili tatu na muda wote Chameleone alikuwa jukwaani. Alishtua watu pale alipompandisha mtoto wake jukwaani na akapiga gita vizuri sana wakiimba pamoja.

601792_4791990762249_1316961552_n
Chameleone alikuwa na umati mkubwa sana.Kikubwa ni kuwa lugha ya Kiswahili inafaa itukuzwe. Msanii anayeimba Kiswahili anakubalika zaidi kuliko anayeiga tamaduni za Magharibi. Chameleone ni mfano mzuri. Anakubalika kwao na amepenya Kenya na Tanzania. Kwanini? Sababu anaunganisha Uganda na Afrika Mashariki.

420745_4791846718648_914391809_n

424519_4791910880252_390440499_n

424524_4791813637821_511291620_n

431895_4791813997830_419100509_n

480084_4791832678297_384351043_n

480342_4791816317888_1768809824_n

528175_4791988322188_1458521642_n

528318_4791866479142_747865115_n

Jiulize mbona Bobby Wine na Bebe Cool hawajapenya zaidi nje ya Uganda? Jibu unalo.. Niliwauliza baadhi ya watu wakasema hata kama hawaelewi vizuri (Kiswahili) wanapenda muziki wake na melody zake. Pia anawafanya waganda waelewe Kiswahili. Badilisha ndio wimbo mkubwa zaidi Uganda.”

562510_4791894039831_204035477_n

601686_4791877119408_1603390651_n

601792_4791990762249_1316961552_n

733896_4791844558594_2141155664_n

923300_4791868759199_144274073_n

923537_4791817557919_1597841062_n

935217_4791992082282_1022386094_n

935244_4791843478567_866944161_n

936255_4791833518318_669286667_n

936986_4791840078482_752224536_n

Kili 4

Baada ya show hiyo Chameleone ameandika kupitia ukurasa wake wa Facebook:

“Thank you for making this a remarkable date on my music career calendar. we made history as a team! Badilisha live 26th April 2013…….2014 here I come! Leone Island tugende tukole!

PICHA KUTOKA KWENYE UKURASA WA FACEBOOK WA CHAMELEONE

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents