Burudani
Picha: AY kushoot video ya pili leo nchini Marekani
Baada ya kushoot video ya kwanza nchini Marekani ya wimbo aliomshirikisha Sean Kingston, leo rapper AY anashoot video ya pili.
AY amesema video anayoshoot leo ni ya wimbo wake ‘It’s Goig Down’ aliowashirikisha Ms Triniti na Lamyia Good. “Na-shoot ‘It’s Goin Down’ leo kila kitu kinaenda sawa na director ni Tim Burton and Chris Mckehnie,” AY ameiambia Bongo5.
AY akiwa ameweka pozi kwenye gari
AY akiwa katika kujiandaa kuanza kushoot video