Picha
Picha: Anne Kansiime, MC PiliPili na Fred Omondi wavunja mbavu za wakazi wa Dar
Mchekeshaji wa Uganda, Anne Kansiime, Fred Omondi wa Kenya na MC Pili Pili wa Tanzania, wametoa burudani ya vichekesho kwa mashabiki wao usiku ya Jumamosi (August 2) katika ukumbi wa Golden Tulip jijini Dar es salaam.
Anne Kansiime, MC Pili pili na Fred Omondi wakifanya yao
Show hiyo ilihudhuriwa na watu wengi wenye nafasi kubwa katika serikali, makampuni na mastaa. Tazama picha za tukio hilo pamoja na red carpet.
Reginald Mengi akisalimiana na Fred Omondi
Fred Omondi akiwa na Millen Magese
Martin Kadinda akiwa na mtu wake wa karibu
Nancy Sumari na Nasreen Kareem
Mmoja ya muumbaji wa Odama Band