Burudani
Picha: Amini aagwa rasmi THT baada ya kupata usimamizi mpya
Msanii wa muziki Amini Mwinyimkuu a.k.a Amini aliyekuwa chini ya usimamizi wa THT ameagwa rasmi usiku wa jana Nov.10 baada ya kupata usimamizi mpya wa kampuni ya BME.
Ditto akipokea cheti kwa miaba ya mwalimu wake
Amini ambaye alianzia safari yake ya muziki ndani ya THT na kudumu kwa muda wa miaka 10, ameagwa na THT na kupokelewa na BME huku akiahidiwa kufikishwa mbali zaidi na kampuni hiyo mpya.
Mr Newton kutoka kampuni ya BME
Amini akizungumza katika sherehe hiyo ya kuagwa, aliwashukuru na kuwakabidhi zawadi walimu waliomfundisha muziki pamoja na mkurugenzi wa THT Ruge Mutahaba.
Mke wa Amini
Amini akiwa na mke wake pamoja Mwinjaku wa Mahusiano