Picha: Amina Issa aibuka Serengeti Super Nyota Diva Shinyanga
Shindano la Serengeti Super Nyota Diva Shinyanga mwaka 2014 limemalizika kwa Amina Issu kuibuka mshindi na kuwapiku wenzake tisa waliokuwa kwenye kinyang’anyiro hicho.
DJ Fetty akimpongeza mshindi wa Shinyanga Super Nyota Diva 2014
Shindano hilo lililokuwa na majaji watatu lilikuwa na raundi tatu mpaka kumpata mshindi huyo ambaye ataungana na wenzake wa mikoa mingine kwenda Dar Es salam kushindana na kumpata mmoja atakayefanya kolabo ya Diamond.
Baadhi ya washiriki wakisubiri kuimba
Majaji wa serengeti super nyota Diva, kutoka kushoto ni Chuse, DJ Fetty na DJ Hunter
Lugha Kali wa Clouds Tv akifanya yake katika kumpata serengeti Super Diva Shinyanga 2014
DJ Fetty akimpongeza mshindi wa Shinyanga Super Nyota Diva 2014
DJ Fetty akizungumza na Super Nyota Diva Shinyanga
DJ Fetty ambae ni mmoja kati ya majaji
Fainali ya serengeti Super Nyota Diva Shinyanga, Edina kushoto na Amina
Jaji Chuse Jonten
Shinyanga Super Nyota Diva wakisubiri kuanza kwa shindano