BurudaniPicha

Picha: Akothee akusanya kijiji Las Vegas, kuachia wimbo mpya March 10

Akothee alianza kwa mwendo wa kobe, lakini leo amekuwa mmoja wa wasanii wakubwa na maarufu Afrika Mashariki. Muimbaji huyo wa Kenya amekuwa mmoja wa mastaa wanaozungumziwa zaidi kwa sasa kwenye vyombo vya habari na haoneshi kupunguza mwendo.

Muimbaji huyo tajiri weekend iliyopita alitumbuiza jijini Las Vegas, Marekani na kuvutia umati mkubwa uliojazana kumshuhudia akitumbuiza vibao vyake mbalimbali.

Wakati huo huo, Akothee ataachia ngoma yake mpya iitwayo Tucheze iliyotayarishwa na producer wa Nigeria, Mastercraft.

Hizi ni picha zingine za show ya Las Vegas.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents