Burudani

P Diddy atangaza kustaafu muziki na kuhamia kwenye uigizaji

Rapper mkongwe kutoka Marekani, Sean John Combs maarufu kama P Diddy amesema anataka kustaafu kwenye muziki na kujikita zaidi kwenye uigizaji.

33A19AC200000578-3564496-Fans_also_got_to_join_the_R_B_star_as_he_brushed_his_teeth_holdi-m-143_1461877863092

P Diddy amesema muda siyo mrefu ataachia albamu yake ya mwisho na kuachana na muziki na kufanya kazi ya filamu.

Akiongea na Ace Showbiz, Diddy amesema, “I’m going to put out my last album and devote 100 percent of my time to doing films. I want to stop at a great place. And a final album is a great place to stop. I want to take a victory lap, to do a world tour and really enjoy it one last time.”

P. Diddy aliongezea kuwa, “When I’m gone, only the songs will survive. I know I’m making music that will live on. I don’t go into the studio just to be hot or to hear myself on the radio.”

Diddy ni mmiliki wa lebo ya Bad Boys Entertainment, lakini pia ni mmoja kati ya wasanii matajiri duniani akiwa mpaka sasa anautajiri wa zaidi ya dola milioni 735.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents