Burudani

Orijino Komedi wanunua nyumba 7 za NSSF, zina thamani ya shilingi milioni 840

Kundi la uchekeshaji la Orijino Komedi limenunua na kuwakabidhi wasanii wake nyumba saba zenye thamani ya shilingi milioni 840 ambapo kila nyumba moja ilinunuliwa kwa thamani ya shilingi milioni 120.

B0CqcIPIMAA1Oiy
Seki akikabidhiwa nyumba yake

Kundi hilo limeweka picha za nyumba hizo kwenye akaunti yake ya Instagram na kuandika:

“ItsOfficialNw Bwn Mseli Abdallah-Planning & Investment Manager wa NSSF akimkabidhi @jotimdebwedo Joti funguo ya nyumba yake mpya kati ya nyumba 7 zilizonunuliwa na @orijinokomedi toka mradi wa NSSF kwaajili ya wasanii wake. Kila nyumba ina thamani ya zaidi ya Tsh 120M.

B0DgkhvCYAAS3vF

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents