Burudani

Ommy Dimpoz leo awasili London kuungana na Ali Kiba kwenye ziara yao ya Valentine

535623_10151519660722642_1753165094_n

Hitmaker wa Me and You, Omary Nyembo aka Ommy Dimpoz leo amewasili jijini London Uingereza kujumuika na Ali Kiba aliyekuwepo huko kabla yake, kwaajili ya ziara iliyopewa jina la The Valentine Tour.

Promota wa ziara hiyo Victor Djrule wa kampuni ya Bongo UK amepost picha za Ommy Dimpoz baada ya kutua kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa London Heathrow Airport (LHR) ambapo Ali Kiba alikuwepo pia kumpokea.

58849_10151519660652642_152100445_n

644322_10151519660872642_1517953216_n
Wakali hao wa Bongo Flava watakuwa na show Feb 22 na 23.

163351_10151494104282642_68779663_n

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents