Nyomi: Jose Chameleone azikonga nyoyo za mashabiki wa Dar (Picha)
Msanii wa Uganda, Jose Chameleone jana alizikonga nyoyo za wapenzi wa muziki jijini Dar es Salaam kwa show yake kali iliyofanyika kwenye ukumbi wa New Maisha Club. Katika show hiyo, Chameleone alisindikizwa na wasanii wengine wakiwemo Vanessa Mdee, Mirror, Ferouz na Professor. Watu kibao walijitokeza kushuhudia show hiyo na hizi ni picha zake.
Vanessa Mdee akiwa na dancers wake wakitumbuiza
Vanessa alipiga show nzuri sana
Jose Chameleone akicheza pamoja na mashabiki aliowapandisha jukwaani
Daudi wa Kota rafiki mkubwa wa Jose Chameleone alikuwa akiongea machache na mashabiki
Barnaba alikuja kuangalia show ya Jose Chameleone
TID Mnyama alipanda stejini na kumpa sapoti Jose Chameleone
TID alipanda ghafla stejini nakuanza kucheza na kusalimia mashabiki alipata shangwe za kutosha
Jose Chameleone mizuka ilipanda akaamua kushuka stejini na kuwafuata mashabiki nakuanza kucheza nao
Jose Chameleone akiimba na shabiki na kucheza naye
Picha ya pamoja ya Jose Chameleone na mashabiki wake
HK ndo alikuwa MC
Ferouz alimpa sapoti Jose Chameleone
Jose Chameleone na Ferouz wakiimba pamoja
Professor Jay alivyopanda stejini alipata shangwe za kutosha, hapa akimpa hug Jose Chameleone
Jose Chameleone na Prof J
Jose Chameleone alivyopanda jukwaani
Mirror naye alikuwepo kumoa kampani Chameleone
Watu walijitokeza kwa wingi sana