Nyimbo za Diamond na Ali Kiba zinaombwa zaidi kwenye radio za Kenya
Kwa mujibu wa Dj maarufu wa kituo cha radio cha Capital FM 98.4 cha jijini Nairobi, Kenya, Dj Joe Mfalme, nyimbo za Diamond na Alikiba ndizo zinazoombwa zaidi na wasikilizaji wake.
Leo wakati akiendesha kipindi chake cha asubuhi, Dj huyo aliyewahi kushinda tuzo katika fani hiyo na pia akifanya kazi kwenye kituo cha runinga cha Channel O alitweet: Iv been over-requested to play some Alikiba and Diamond.”
Katika hatua nyingine, wasikilizaji wa kipindi hicho wameonekana kukunwa zaidi na nyimbo za Tanzania na hawakuficha hisia zao kwa Dj huyo kipenzi cha wengi. Hizi ni baadhi ya tweets kuonesha ni jinsi gani muziki wa Bongo Flava unavyopendwa na wakenya.
PATRICK TOROITICH @omiltoro
@984inthemorning @djjoemfalme boss enjoying this mix ….bongo man uko juu
Ian Luganje @ILuganje
@DjJoeMfalme bongo oldschool love the jams you guy
Martin Gitau @gitaumartin
@DjJoeMfalme rocking this morning with #BongoFlava
Mike Ngari @ninjanthropus
Been a while since I heard a Dj do a Bongo set. Nice one @DjJoeMfalme
Dj Cronixx™ @Its_Stevii
@djjoemfalme Mkono moja weka juu!!
St. RAFSUN @Raphomattic
@djjoemfalme loving those Bongo mixxes Cc @984inthemorning
Sakka Three. @Sakka_III
This @DjJoeMfalme ako na Ubaya. That Bongo set… Killer!!!!!! Kayuuuuumbet tu kwa ofisi.
Anthony Gakuru @gaQcx
@DjJoeMfalme that bongo mix making traffic bearable!
Dann Mchoraji™ @dannmchoraji
@DjJoeMfalme their music makes a lot of sense
Nelly @Nellythe1
@DjJoeMfalme..oh wow..that bongo jus touched a dial