Habari

Nyerere day

Nyerere_face  

Leo tunatimiza miaka 11 tangu baba wa Taifa hili  Mwl J.K.Nyerere ambaye alitutoka  mwaka Octoba 14, 1999 na leo tunaikumbuka tena siku hiyo kama Nyerere Day.

 




 

Hii ni changamoto kwa  Watanzania ambao tunatimiza miaka 50  ya uhuru, pia tunapaswa tujiulize tumeendeleza kipi, kati ya vile alivyotuachia mwalimu. Pia huu ni muda wa kujiuliza je? tunamuenzi mwalimu kwa lipi, hasa katika  ile falsafa yake ya umoja ambayo ilimpelekea kuunganisha Tanganyika na Zanzibar, na kuuenzi muungano wetu. Mwalimu Nyerere anaheshimiwa na watanzania hadi na maitaifa ya nje kwa uadilifu na moyo wake wa kutumikia kuliko kutumikiwa, je Viongozi wa sasa wapo hivyo?

nyerere

Mwl akitangaza uhuru kamili….. kwa Tanganyika

nyerere_group

Mwl akiwa na viongozi wa dini………….

nyerere_day_mazishi

Msafara tayari kwaajili ya kufanikisha safari ya mwisho ya baba wa Taifa…

Nyerere_day_jeneza

Mwl akisaliwa kwenye kanisa la St Joseph Poster ya zamani…………

Nyerere_kabuli

Na haya ndiyo makazi ya kudumu kwa mwalimu…….

MUNGU AMLAZE ……………MAHALI  PEMA PEPONI……………AMEN.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents