BurudaniDiamond Platnumz

Nitakuja tena Tanzania wimbo wetu na Diamond ukitoka – Ne-Yo (Audio)

Kuna uwezekano mkubwa staa wa Marekani, Ne-Yo akaja tena Tanzania kwa mara ya pili.

13269419_1109188999169399_1336650774_n

Akiongea na mtangazaji wa Jembe FM, JJ baada ya show ya Jembeka Festival Jumamosi iliyopita, Ne-Yo alisema wimbo huo utaachiwa hivi karibuni.

“Baada ya wimbo kutoka ni lazima nije tena kwasababu tutautumbuiza,” alisema muimbaji huyo wa Miss Independent. “I will definitely be back,” alisema.

Wawili hao waliutumbuiza wimbo huo pamoja kwenye tamasha hilo lililofanyika jijini Mwanza. Msikilize zaidi hapo chini.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents