Burudani

Nipo tayari kuchanwa na msanii yeyote – Young Killer

Wasanii hutumia mashairi yao kufikisha ujumbe kwa jamii lakini wengine hutumia hiyo hiyo mistari kumchana mwenzake kama wanavyofanya Drake na Meek Mill kwenye nyimbo zao.

YounG KILLER

Akiongea kwenye kipindi cha E News, kinachoruka kupitia EATV, rapper huyo kutoka Mwanza, alisema yupo tayari kuchanwa na msanii yeyote.

“Kama mtu anataka kunichana kwenye wimbo wake anichane tu mimi nipo tayari ila kumbuka kuwa na mimi nachana pia tena nachana sana,” aliongeza.

Wiki hii Young Killer ameachia wimbo wake mpya ‘Kumekucha’ aliomshirikisha Mr Blue.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents