Burudani

Ninafikiri siku ya kifo changu imekaribia – Wema Sepetu

Hakuna binadamu asiyefahamu hatma yake hapa duniani, licha ya kwamba wengi huwa hawapendi hata kuzungumzia swala la kifo, lakini mrembo Wema Sepetu hana tatizo katika hilo.

wema

Muigizaji na Miss Tanzania wa zamani Wema Sepetu ameandika ujumbe kuhusu ‘anachofikiria’ kuhusu kifo chake, kitendo kilichowaachia maswali mashabiki wake ya kwanini amewaza na kuamua kuandika maneno hayo.

Kupitia Instagram Wema ameandika:

“Kumbuka kwamba kuna kifo… Iko siku utaitwa Marehemu…. Put that in your head… Im thinking my day is soon…. Alhamdulillah for everything tho…. “

wema post

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents