Burudani

Nick wa Pili: Muziki wa zamani ulikuwa unapimwa kwa vitu vingi tofauti na sasa

Nick wa Pili ametaja vitu ambavyo kwa sasa vinafanya muziki uonekane mzuri tofauti na ilivyokuwa zamani.

Rapper huyo kupitia mtandao wa Twitter ameandika ujumbe unaoonyesha vitu hivyo ambapo moja wapo ni views za video, followers na vingine.

Kupitia mtandao huo, Nick ameandika, “Miaka ya 90’s ubora wa muziki ulikuwa unapimwa na vitu vingi, sasa kipimo ni kimoja, number views,money,rotation,downloads,chati,followers..”

Kwa mujibu wa ujumbe huo wa Nick unaweza ukaona kuwa muziki wa zamani ndio ulikuwa bora zaidi kwakuwa vitu hivyo havikuwepo lakini mpaka leo hii bado zinaendelea kufanya vizuri.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents