Burudani
Nick Cannon na Mariah Carey kula Christmas pamoja licha ya kuachana
Nick Cannon na mke wake wa zamani Mariah Carey watakuwa pamoja kwenye sikukuu ya Christmas.
Wawiili hao waliofungua ndoa 2008, walitangaza kutengena mapema mwaka huu, lakini Nick amethibitisha kuwa hilo haliwezi kumzuia kutumia muda na Mariah kwenye sikukuu hiyo pamoja na watoto wao mapacha Monroe na Moroccan.
Mapema wiki hii pia, Nick alikanusha kuwahi kuwa na uhusiano Amber Rose.