Burudani

Next level ya Adam Juma kusaka vipaji vya waigizaji na models Jumamosi hii (October 4)

Kampuni ya Next Level inayomilikiwa na muongozaji wa video wa Tanzania, Adam Juma imeamua kutafuta vipaji vipya vilivyoko mitaani, kwa kuandaa shindano la kusaka vipaji litakalofanyika Jumamosi hii October 4 pale Mzalendo Pub.

IMG-20141001-WA0006

Vipaji vinavyotafutwa ni pamoja na models, waigizaji pamoja na watangazaji wa TV.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents