Vanessa Mdee aka Vee Money aliweka wazi kabisa kwamba mwaka huu ataumaliza kwa kishindo!
Baada ya kushirikishwa kwenye ngoma kali zinazobamba Afrika nzima, sasa kasogeza nyingine inayokwenda kwa jina la “Cash Madame” inayopatikana ndani ya Mkito.
Ngoma inahusu madada wanaojielewa, wanaojitafutia mshiko bila kumtegemea sponsor. Cash Madame imetengenezwa na E Kelly Beatz.
Ipakue hapo chini:
Unaweza kutazama video yake hapo chini pia.
https://www.youtube.com/watch?v=5dA5yfX6_30