Mdau wa Mziki wa Kizazi kipya ndani ya Bongo na Kwengineko. Hii ni kazi mpya toka kwa wakongwe hawa wawili Sugu na Professor Jay katika kuihamasisha jamii ya ki TANZANIA kuhusu hali ya sasa na Uchaguzi mkuu ujao mwaka 2015. Wimbo unaitwa “Makamanda” umefanywa Mwanalizombe Records chini ya Producer Villy. Enjoy
Join our mailing list to get the latest news!
Related Articles
Check Also
Close
-
New Video: Jamwe He Ft Chege -NadoJanuary 17, 2018 - 12:44 am
-
Video: Ivrah – TusheherekeeDecember 25, 2017 - 5:01 pm