Burudani
New Music: Feza Kessy – My Papa
Baada ya kimya kirefu, Feza Kessy ameachia ngoma yake mpya iitwayo ‘My Papa’. Kwakuwa sasa amepata ‘Amani ya Moyo’, mwakilishi huyo wa mwaka jana wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa, ameamua kumuimbia mpenzi wake (ofcourse O’Neal) namna anavyompenda. Katika wimbo huu wenye beat kali ya Kiafrika iliyotengenezwa na Nahreel, Feza anaimba kwa Kiingereza na Kiswahili.
[soundcloud url=”https://api.soundcloud.com/tracks/145888021″ params=”auto_play=false&hide_related=false&visual=true” width=”100%” height=”450″ iframe=”true” /]