Afro Maniac nimsanii kutoka Tanzania ambaye kwa sasa yupo Mjini Birmingham akisomea masomo ya Music Management huu ni wimbo wake mpya unaitwa “Mama Drama” akimshirikisha Kasongo wa Kanema. Wimbo huu ilikuwa ni idea ya Producer wake Mbezz Makini Ulopa kutoka Kenya katika studio za Side B Records kwa sasa yupo chini wausimamizi wa biggy jay (big ents)
Join our mailing list to get the latest news!
Related Articles
Check Also
Close
-
New Video: Jamwe He Ft Chege -NadoJanuary 17, 2018 - 12:44 am
-
Video: Ivrah – TusheherekeeDecember 25, 2017 - 5:01 pm