Bongo Movie
Neema kuwa Mtoto wa Mtaani
Chipukizi wa sanaa ya filamu na maigizo Hasifa Omari ‘Neema’ ametia sahihi mkataba mpya kwaajiri ya kuchezea filamu hiyo. Akizungumza na Bongo5 alisema mwanzo mama yake alimwekea pingamizi, kukubaliana na mkataba huo, ingawa hajasema kwanini alikuwa akiugomea. Hata hivyo alisema amembembeleza kiasi cha kumkubalia hatmaye akadondosha sahihi yake, ambayo itamruhusu mwanaye acheche kama ‘MTOTO WA MTAANI’. “Nitaigiza kama mtoto wa mtaani naahidi kutowaangusha mashabiki wangu katika tasnia nzima ya filamu”
Hapa akiwa katika Pozi Tofauti pale Leaders Club katika Bonaza la kila Juma mosi.