Habari
NECTA: Puuzeni taarifa kuhusu mchujo wa kidato cha kwanza
Baraza la mitihani Tanzania NACTE limesikitishwa na zile ilizoziiita ni taarifa za uongo zilizotolewa na gazeti la Nipashe Februari 19 mwaka huu lililokuwa na kichwa cha habari kilichosemeka ‘Mchujo form 1 wasisitizwa‘
Hii taarifa yake kwa umma:
By: Emmy Mwaipopo